Sifa za Wahusika Katika Riwaya Kigogo na Pauline Kea kenya

7 min read

Sifa za Wahusika Katika Riwaya Kigogo na Pauline Kea kenya

sifa za wahusika katika kigogo

sifa za ashua katika kigogo

maudhui katika tamthilia ya kigogo

sifa za tunu katika kigogo

maswali ya kigogo

maudhui ya kigogo

maudhui katika kigogo

sifa za majoka

 

Fafanua Sifa Za Boza Katika Kigogo

BOZA;
Nifundi wa kuchonga vinyago Sagamoyo,mumewe Asiya(mamapima)

SIFA ZAKE Boza 
Nimwenyehasira.
Anamwambia Sudi kwa hasira kuwa embe lake lina nu kafee.(uk1)
Nikikaragosi.
Anatetea viongozi kuwani jukumu lao kusanya kodi, kuwa huku ndilo kujenga nchi na kujitegemea.(uk3)
Anafurahia wimbo wa uzalendo unaosifia uongozi wa Majoka ilhali hali nitofauti
Sagamoyo kulingana na maudhui katika wimbo huo.
Anamuunga Majoka mkono ili afaidi.
Mwenyemajisifu.
Anajisifu kuwa keki ya uhuru imeokwana mke wake mwenyewe.
Nimsaliti.
Anawasaliti wanamapinduzi kwa kuunga mkono uongozi Mbaya wa Majoka mkono

 

Sifa Za Tunu Katika Kigogo

Baadhi ya Sifa za Tunu:
1. Msomi- Ana shahada ya. udaktari katika sheria inayomwezesha kutetea haki za wanasagamoyo.
Mwenye Msimamo thabiti – Licha ya kuvamiwa na kuvunjwa mguu na Uongozi wa Majoka halegezi Msimamo wake wa kutetea Wanasagamoyo.
Jasiri – Licha ya kutishiwa na Majoka kuwa angemwangamiza hasitishi upinzani wake.
– anamfuata Majoka Hadi kwake kumwambia awafungulie soko la Chapakazi.
Mtetezi- Anaanda maandamano ya kushinikiza kufunguliwa kwa soko la Chapakazi kwa ushirikiano na Sudi.

UMUHIMU WAKE UTOKANE NA SIFA ZAKE:
1. Anaendeleza maudhui ya elimu kwa kusomea udaktari wa sheria.
2. anaendeleza maudhui ya nafasi ya mwanamke kama vile jasiri, mkombozi, msomi- no.
1. Anajenga sifa za Majoka mfano katili- anapowatuma majambazi kumvamia na kumvunja mguu.

JALADA – Kigogo
Jalada ni picha iyoko mbele ya tamthilia hi ya “Kigogo”
Kuna picha ya mtu wa kiume aliyeketi kwenye kiti akiwa ameshikilia kidevu chake na Rungu mknoni.
– Kiti Ni ishara ya Uongozi. kwa hivyo kiti alichokalia Ni ishara kuwa yeye ndiye amekalia kiti Cha Uongozi hususani wa Sagamoyo.
– Rungu aliyoshikilia mkononi ni ishara ya mamlaka aliyo nayo. 
– Amefunikwa na rangi nyeusi kuashiria kuwa Ni kiongozi wa kiafrika.
– Ameshika kidevu Kama ishara kuwa anawazia Jambo Fulani hususani upinzani wake Tunu unaotatiza Uongozi wake.
Kuna ramani ya Afrika walimosimama watu wanaotazamwa na mtu huyu.
– Hii ni ishara kuwa hawa Ni watu kutoka mataifa ya Kiafrika waluoathirika na Uongozi mbaya wa Baada ya kuondolewa kwa mzungu.
-wamefunikwa na wingu jeusi kuashiria matatizo yanayowakumba watu weusi yakisababishwa na Uongozi kutoka kwa viongozi wao wa kiafrika mfano soko la Chapakazi walilolitegemea kwa kila namna linafungwa na Majoka.
Nyuma na umati huo wa watu Kuna mwangaza mkubwa unaowamlika Kama ishara ya matumaini yanayoletwa na Tunu kujitolea kupigania haki za Wanasagamoyo Hadi kumwondoa Majoka uongozini.

Uchambuzi wa jalada la KIGOGO.


Kitabu hiki ni Tamthilia ambacho ni mara ya kwanza kuidhinishwa katika shuke za upili hapa nchini Kenya.

Kimeandikwa na Pauline Kea…

Michoro ipo kwenye jalada lake na ni kama ifuatavyo:
+Mchoro wa ramani ya Afrika uliochorwa kwa rangi nyeusi. Mchoro huu ni ishara wazi kuwa manthari husika ni Afrika.

+Mchoro wa watu waonekanao kama vivuli kwenye mchoro wa ramani ya Afrika. Pia ni rangi nyeusi kiashiria cha watu wa bara la Afrika.

sifa za kenga


sifa za daktari katika kigogo


sifa za majoka katika kigogo


sifa za ashua katika kigogo

sifa za babu katika kigogo


umuhimu wa asiya katika kigogo



umuhimu wa mandhari katika tamthilia ya kigogo
umuhimu wa husda

 

1.Wazo kuu pamoja na yanayotokea katika onyesho la kwanza tendo la kwanza kwenye tamthilia ya kigogo
2.Wazo kuu na yanayojiri katika Onyesho la kwanza tendo la pili kwenye tamthilia ya kigogo
3.Wazo kuu na yanayojiri katika Onyesho la kwanza tendo la tatu kwenye tamthilia ya kigogo
4.Uchambuzi wa onyesho la pili,tendo la kwanza katika tamthilia ya kigogo
5.Uchambuzi wa Onyesho la pili, tendo la pili katika tamthilia ya kigogo
6.Uchambuzi wa onyesho la tatu,tendo la kwanza wa tamthilia ya kigogo
7.Yanayotokea na wazo kuu katika Onyesho la tatu, tendo la pili ndani ya tamthilia ya kigogo
8.Matukio na wazo kuu katika Onyesho la tatu, tendo la tatu ndani ya tamthilia ya kigogo
9.Uchambuzi wa onyesho la tatu tendo la nne kwenye tamthilia ya kigogo
10.Uchambuzi wa onyesho la nne,Tendo la kwanza katika tamthilia ya kigogo
11.Wazo kuu na Matukio ya Onyesho la nne , tendo la pili katika tamthilia ya kigogo
12.Uchambuzi wa onyesho la tano,tendo la kwanza wa tamthilia ya kigogo
13.Wazo kuu na matukio katika Onyesho la tano, tendo la pili ya tamthilia ya kigogo
14.Uchambuzi wa onyesho la sita,tendo la kwanza ya tamthilia ya kigogo
15.Uchambuzi wa onyesho la saba,tendo la kwanza ya tamthilia ya kigogo
16.Matukio na wazo kuu katika tendo la pili onyesho la saba katika tamthilia ya kigogo
17.Jalada la tamthilia ya Kigogo -Pauline Kea
18.Ufaafu wa anwani ya tamthilia ya Kigogo
19.Dhamira ya mwandishi katika tamthilia ya Kigogo.
20.Maudhui makuu katika tamthilia ya Kigogo -Pauline Kea
21.Mbinu anazotumia Majoka kuongoza Sagamoyo
22.Matakwa ya wanasagamoyo katika tamthilia ya kigogo
23.Sifa za mhusika Majoka katika tamthilia ya kigogo
24.Umuhimu wa Majoka katika tamthilia ya Kigogo.
25.Sifa za mhusika Tunu katika tamthilia ya kigogo
26.Umuhimu wa Tunu katika tamthilia ya kigogo
27.Sifa za Ashua katika tamthilia ya kigogo
28.Umuhimu wa Ashua katika tamthilia ya kigogo
29.Mhusika Sudi na Sifa zake katika tamthilia ya kigogo
30.Umuhimu wa Sudi katika tamthilia ya kigogo
31.Mhusika Kenga na sifa zake katika tamthilia ya kigogo
32.Umuhimu wa Kenga katika tamthilia ya kigogo
33.Mhusika Ngurumo na sifa zake katika tamthilia ya kigogo
34.Umuhimu wa mhusika Ngurumo kwenye tamthilia ya kigogo
35.Mhusika Boza na sifa zake katika tamthilia ya kigogo
36.Umuhimu wa Boza katika tamthilia ya kigogo
37.Sifa za Husda katika tamthilia ya kigogo
38.Umuhimu wa Husda katika tamthilia ya kigogo
39.Mama pima na sifa zake katika tamthilia ya kigogo
40.Umuhimu wa mama pima katika tamthilia ya kigogo
41.Mhusika Babu katika tamthilia ya kigogo
42.Umuhimu wa babu katika tamthilia ya kigogo
43.Mbinu za uandishi katika tamthilia ya Kigogo
44.Tamathali za usemi au mbinu za lugha katika tamthilia ya kigogo

 

History and Government
Christian Religious Education (CRE)
IRE
Mathematics
Physics
Biology
Geography
Chemistry
English
English Literature
Commercial and Administrative Law
Business Studies
Diploma in ECDE
Certificate in ECDE
Computer Studies
Computer Science
Kiswahili
Agricuture
Home Science
Accounting
Economics
CPA Financial Accounting
CPA Commercial Law
Entrepreneurship and Communication
CPA Quantitative Analysis
CPA Economics
CPA Company Law
CPA Financial Management
CPA Taxation
CPA Cost Accounting
CPA Financial Reporting
CPA Advanced Financial Reporting
CPA Auditing and Assurance
CPA Advanced Taxation
CPA Management Information Systems
CPA Advanced Auditing and Assurance
CPA Strategy, Governance and Ethics
CPA Advanced Management Accounting
CPA Advanced Financial Management
ATD Information Communication Technology
ATD Auditing
ATD Financial Accounting
ATD Principles of Management
ATD Business Mathematics
PTE Home Science
PTE Social Studies
Tambua kielezi katika sentensi ifuatayo. Kijana mkorofi ameadhibiwa vibaya
Tambua kivumishi katika sentensi ifuatayo. Mwanafunzi mdogo amezungumza taratibu.
Vita vina athari nyingi katika maisha ya binadamu, dhibitisha ukweli wa kauli hii ukiangazia riwaya ya chozi la heri.
"Maisha yangu yalijaa shubiri tangu utotoni." Rejelea Chozi la heri.
Nini maana ya kishazi?toa mifano ya vishazi
Toa sababu nne zinazosababisha watu kufanya makosa katika matumizi ya lugha.
Fafanua mambo manne yaliyochochea usanifishaji wa Kiswahili wakati wa ukoloni nchini.
Tambua aina za shamirisho katika sentensi ifuatayo. Gaidi aliyepigwa risasi alikuwa amebeba bunduki.
Ni hisia zipi zinazodhihirika katika matumizi haya ya vihisishi. (i) Maskini! Alinyimwa msaada na serikali (ii) Wallahi! Nikikutana naye atajuta kwa nini kazaliwa.
Ondoa ‘o’ rejeshi bila kubadilisha maana. Kuimba kulikosifika siku nyingi sasa kunatia shaka
Fafanua aina ya hali katika sentensi hii. Mtoto acheza mpira
Eleza matumizi ya kwa katika sentensi ifuatayo. Aliyeshtakiwa kwa wizi alipigwa na watu kwa mawe kisha akapelekwa na msamaria mwema kwa tabibu.
Toa maana mbili zinazojitokeza katika sentensi ifuatayo. Nilimwonea Karamuni
Tunga sentensi mbili tofauti ukitumia neno ‘haya’ kama: (i) Nomino (ii) Kivumishi
Tambua chagizo katika sentensi ifuatayo. Upatapo mali kirahisi itumie kwa makini.
Sentensi zifuatazo ni za aina gani? (i) Japo alijitahidi hakufaulu. (ii) Alijitahidi japo hakufaulu.
Nyambua kitenzi kifuatacho katika kauli ya kutendama. ‘Shika’
Huku ukitoa mfano mmoja mmoja fafanua miundo miwili ya ngeli ya U-I.
Akifisha sentesi zifuatazo. (i) Yangu anaimba mama wimbo (ii) Amicus curiae ni msamiati uliovuma nchini baada ya uchaguzi mkuu.
Tambua mofimu mbili ambazo si mofimu tegemezi. Kunguru, kijiti, mwanambee, parafujo, majembe
Unda kivumishi kutokana na kitenzi ‘sadiki’.
Tunga sentensi ya neno moja yenye viungo vifuatavyo. (i) Kiambishi cha nafsi ya kwanza umoja (ii) Njeo (iii) Yambwa tendwa (iv) Mzizi (v) Kauli ya kufanyiza (vi) Kiishio
Taja kiwakilishi ngeli cha nomino ‘UMASKINI’
Eleza tofauti kati ya kiimbo na shadda.
(b) Tofautisha vitamkwa vifuatavyo. (i) /ny/ (ii) /ng’/
Taja sifa mbili za mizizi wa kitenzi.
Sekta za umma humu nchini hazina kifani katika uzembe. Unapohitaji huduma za posta, umeme, maji, mawasiliiano, utayarishaji wa mishahara na malipo mengine, utalazimika...
Takwimu za tafiti za umaskini kila mara huonyesha kuwa bara la Afrika ndilo bara maskini kabisa kote duniani. Takriban wakaazi kiasi cha asilimia...
Halleluyah… Mungu asifiwe sana… shetani ashindwe… Tambua na utoe sifa za sajili hii.

Total Execution Time content: 0.00090765158335368 Mins Total Execution Time social : 0.0001 Mins

Read Next

Total Execution Time red next: 0.0000 Mins

Search Now






Categories