43 Kigogo Dondoo Questions And Answers pdf marking scheme
1 min read
Kigogo Dondoo Questions and Answers
1.... Hivi vishahada vyao wanavyovipata siku hizi vinawavimbisha kichwa! Mtu anaitwa daktari na hata kazi ya maana hana.... a. Weka dondoo hili hili katika muktadha wake
(Alama 4)
- Fafanua mbinu mbili za sanaa alizozitumia mwandishi (Alama 4)
- Ukirejelea tamthilia ya Kigogo, dhihirisha kuwa mtu anaitwa daktari na hata kazi ya maana hana.(alama 12
- Utawala wa majoka katika jimbo la sagamoyo umejaa sumu ya nyoka’’. Jadili usemi huu(alama 20)
- ‟Wamenimaliza… Wamenigeuka…″.
- a) Weka dondoo hili katika muktadha wake.
(Alama 4)
- b) Eleza namna msemaji amemalizwa na kugeukwa?
(Alama 4)
- c) Eleza umuhimu wa msemaji.
(Alama 4)
- d) Eleza jinsi wahusika wengine walivyomaliziwa katika tamthilia. (Alama 8)
- "Mataifa mengi ya Afrika yamekumbwa na tatizo la uongozi mbaya." Thibitisha ukweli wa kauli hii kwa kurejelea tamthilia ya kigogo. (al 20)
- Uliona nini kwa huyo zebe wako? Eti mapenzi!
- a) Eleza muktadha wa dondoo.
(alama 4)
- b) Andika mbinu mbili za lugha zinazojitokeza kwenye dondoo hili. (alama 4)
- c) Taja hulka za mnenaji unaojitokeza katika dondoo.
(alama 2)
- d) Mwanamke ni kiumbe wa kukandamizwa. Thibitisha kauli hii ukirejelea tamthilia. (alama 10)
- Ni bayana kwamba viongzoi wengi katika nchi zinazoendelea wamejawa na tamaa na ubinafsi. Thibitisha kauli hii ukirejelea tamthilia ya kigogo. (alama 20)
- “Unayazika matumizi yetu .Unaifukia kesho yetu.”
- Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)
- Onyesha jinsi anayeambiwa maneno haya anavyoifukia kesho ya wenzake (alama 16)
- ”Msiba wa kujidunga hauna kilio.” Thibitisha kauli hii kwa kurejelea ya Kigogo (alama 20)
-
- a) Utawala wa sagamoyo unatumia mbinu nyingi kubakia mamlakani. Fafanua zozote kumi (alama 10)
- b) Mwanamke ni nguzo imara katika ujenzi wa jamii. Eleza kauli hii ukirejelea tamthilia ya kigogo (alama 10)
- “Tuacheni kufumbatia maji kama jiwe. Sagamoyo inahitaji mabadiliko, damu nyepesi ili kuufungua ukurasa mpya” a) Eleza muktadha wa dondoo hili
(alama 4)
- b) Kwa kutoa mifano taja tamathali mbili za usemi zinazojitokeza katika dondoo hili(alama4)
- c) Kwa nini sagamoyo inahitaji mabadiliko? (alama 10)
- d) Taja sifa moja ya msemaji inayojitokeza katika dondoo hili (alama 4)
- Kwa kurejelea mifano mbalimbali thibitisha dai kuwamwandishi huyu amemlika uhalisia wa jamiiya Kenya (al. 20) 12. Ona sasa! Mnaniharibia biashara. Nimewapa dakika moja muione nyumba hii paa. Nikiwapatahapa, mtajua kwa nini wananiita……… a) Fafanua muktadha wa dondoo hili. (al. 4) b) Tambua kwa kutolea mfano mbinu moja ya lugha inayojitokeza katika muktadha huu. (al.2)
- c) Kwa kurejelea mifano mbalimbali eleza madhara/matokeo ya shughuli za msemaji katika dondoo hili kwa jamii husika (al. 14)
- Eleza jinsi mbinu zifuatazo zilivyotumika katika Tamthlia hii. (alama 20)
- a) Kinaya
- b) Majazi
- Ami ? Tangu lini ukawa ami yangu?
- a) Eleza muktadha wa dondoo
(Alama 4)
- b) Taja mbinu iliyotumika katika dondoo hili
(AIama 2)
- c) Eleza sifa za msemaji (AIama 8)
- d) Bainisha maudhui ya nafasi ya mwanamke ukizingatia mhusika huyu (AIama 8)
- Uongozi mbaya ni tatizo sugu linalokumba mataifa mengi ya Afrika. Thibitisha ukweli wa kauli hii kwa kurejelea tamthilia ya kigogo. (alama 20)
- ``Haja zako ni haja zangu, shida zako ni shida zangu, kiu yangu ni kiu yako. ``
- a) Weka dondoo hili katika muktadha wake. Alama 4 b) Kwa kurejelea dondoo taja na ueleze sifa nne za msemaji na msemewa. Alama 8
- c) Taja tamathali ya usemi inayojitokeza katika dondoo alama 2 d) Kwa kurejelea tamthilia ya kigogo eleza jinsi mbinu zifuatazo zimejitokeza
- Nyimbo
- Jazanda
- Majazi alama 6
- “Mimi ni mtu wa vitendo, si wa vishindo.”
(a) Weka dondoo hili katika muktadha wake.
(alama. 4)
(b) Kwa kurejelea dondoo eleza sifa mbili za mnenaji
(alama. 4)
(c) Thibitisha ukweli wa kauli ya mnenaji.
(alama. 12)
- Ukiukaji haki na uvunjaji sheria ni mambo yaliyokithiri katika jimbo la Sagamoyo. Thibitisha. (alama. 20)
- “………..Acha porojo zako . Kigogoo hachezewii watafuta maangamimi!”
- a) Eleza muktadha wa dondoo hili (alama 4) b) Fafanua sifa za muzungumzaji (alama 4)
- c) Eleza jinsi msemewa alivyokuwa akimchezea kigogo katika muktadha huu. (alama2)
- d) Kwa kurejelea hoja kumi kutoka kwenye tamthilia Onyesha ukweli kuwa ‘Kogogo hachezewi (alama 10)
- Kwa kirejelea tamthilia ya kigogo, jadili mbinu - ishi tunazojifunza kutokana na kijana Tunu. (alama 20)
- “Ukitaka kukula asali kaa na nyuki!”
- a) Eleza muktadha wa dondoo hili. [alama 4] b) Bainisha mbinu iliyotumika katika dondoo hili.
[alama 2]
- c) Eleza jinsi wahusika hawa walivyofaidika kutokana na kukaa na nyuki. [alama 14]
- Chopi
- Kenga
- Ngurumo
- Mamapima
- Eleza jinsi mwandishi alivyotumia mbinu ya majazi. [alama 20]
- “Shika hamsini zako wewe ... Hatutaki kufanya nira na mtu ...” (a) Eleza muktadha wa dondoo hili.
(alama 4)
(b) Eleza tamathali ya usemi iliyotumika.
(alama 2)
(c) Uongozi wa Majoka umesheheni sumu ya nyoka. Thibitisha kwa kudokeza hoja kumi na nne. (alama 14)
- . Utawala mbaya ni tatizo sugu linalozikumba nchi nyingi za kiafrika. Jadili, kwa kurejelea matukio ishirini katika tamthilia ya Kigogo (alama 20)
- “Ulitaka wahamie wapi siku kama hizi? Wamekuja kuuguza majeraha yao ya kufungiwa soko.”
- a) Weka maneno haya katika muktadha wake.
(alama 4)
- b) Tambua mbinu mbili za lugha katika dondoo hili
(alama 2)
- c) Kando na kufungiwa soko, Wanasagmoyo wanauguza majeraha yepi mengine yanayosababishwa na utawala wa Majoka (alama 5)
- d) Fafanua sifa za msemaji wa dondoo hili.
(alama 9)
- "Si haki. Unayazika matumaini yetu. Unaifukua kesho yetu. Unatupoka utu na heshima yetu."
- a) Fafanua muktadha wa maneno haya. (alama 4) b) Eleza tamathali iliyotumika kwenye dondoo hili. (alama 2) c) Onyesha vile mrejelewa alivyoyazika matumaini na alivyofukua kesho yao. (alama 14)
- Tamthilia ya Kigogo ni taswira kamili ya matatizo yanayokumba mataifa mengi barani Afrika. Fafanua ukirejelea Tamthilia nzima. (alama 20)
- “Kitabu si jalada, fungua ndani usome mambo. Kitanda usichokilalia kunguni wake huwajui.”
- a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (al.4)
- b) Kwa kurejelea tamthilia ya kigogo, thibitisha ukweli wa dondoo hili. (al.14)
- c) Taja tamathali za usemi zilizotumika katika dondoo hili. (al.2)
- Eleza mbinu alizotumia majoka kuendeleza uongozi wake. (al.20)
- “Oooh bebi, miaka yaenda mbio sana, nayo sura yako inachujuka……”
- a) Weka dondoo hili katika muktadha wake. (alama 4) b) Mhusika anayehusishwa na wimbo huu ana msimano gani wa kimapinduzi? (alama 8)
- c) Taja sifa zozote nane za muhusika huyu (alama 8)
- Tamthilia ya ‘Kigogo’ ni kioo cha uhalisia wa maisha ya jamii nyingi za kiafrika. Thibitisha. (alama 20)
- “Mguu huu ni wako”
- a) Eleza muktadha wa dondoo hili (al. 4)
- b) Ni tamathali gani ya usemi iliyotumika katika dondoo hili. Eleza maana yake (al.2)
- c) Msemewa alipewa ahadi zipi
(al. 5)
- d) Eleza sifa na umuhimu wa mzungumzaji
(al. 9)
- “Dalili ya mvua ni mawingu, lazima tuwe macho”.
- a) Eleza muktadha wa dondoo hili.
(alama 4)
- b) Bainisha tamathali ya usemi iliyotumika katika dondoo hili. (alama 2)
- c) Ushauri uliotolewa na msemaji baadaye kama njia mojawapo ya kuwa macho ni wa kidhalimu. Fafanua. (alama 4) d) Eleza namna unafiki wa msemaji na upumbavu wa mnenewa unavyodhihirika katika muktadha wa dondoo hili. (alama e) Onesha jinsi ukweli wa kauli hii ulivyojitokeza baadaye katika tamthilia. (alama 4)
- Jadili migogoro inayojitokeza katika tamthilia ya kigogo, kisha utathmini namna ilivyosuluhishwa. (alama 20)
- “ Do ! Do ! Simameni ! Simameni leo kutanyesha mawe! “ (i) Eleza muktadha wa dondoo hili.
( alama 4)
(ii) Fafanua mbinu za lugha zilizotumika katika dondoo (alama 4)
(iii) Dhihirisha kwa kuzingatia hoja sita jinsi mwanamke alivyosawiriwa katika tamthilia ya “ Kigogo.” (alama 12) 36. Eleza kwa kutolea mifano mitano mitano jinsi mwandishi alivyofaulu kutumia mbinu za :
- a) mbinu rejeshi
(alama 10)
- b) sadfa (alama10) 37. Eleza jinsi mbinu ya taharuki ilivyotumika kufanikisha maudhui katika tamthilia ya kigogo. (alama 20)
- "Maandamano na migomo ni tatizo sugu katika mataifa yanayoendeleaa." Kwa kurejelea tamthilia ya kigogo, eleza chanzo na athari za maandamano na migomo. (alama 20)
- Jadili jinsi maudhui ya uzalendo yamejitokeza katika tamthilia ya Kigogo (alama 20)
- Jadili ufaafu wa anwani "kigogo" katika tamthilia ya kigogo. (alama 20)
- Mwandishi wa kigogo amewajenga wanawake kwa njia hasi na chanya. Jadili kauli hii kwa kutolea mifano kutoka tamthilia (alama 20)
- "Wananchi katika mataifa ya Afrika hukumbwa na matatizo ya viongozi wanafiki." Thibitisha kauli hii kwa kutolea mifano kutoka tamthilia ya kigogo. (alama 20)
- Fafanua jalada la tamthilia kigogo (alama 20)
Read Next
Here are the best law colleges in kenya, offering degree and diplomas and are also accredited by the kenya school of law.mount kenya universityuniversity of nairobikenyatta universityjommo kenyatta un...
Continue reading
Official kathivo vocational training centre contacts p.o. box 1587-90200kituicourses offered at kathivo vocational training centre1. trade test in tailoring and dress making (nita) for a maximum of 3...
Continue reading
Total cost of credit or tcc refers to the total amount payable for a loan, including all bank fees and charges, and estimated third party costs such as legal fees,and valuation and stamp duty in the c...
Continue reading
So i'm trying to add foreign key constraints to my database as a project requirement and it worked the first time or two on different tables, but i have two tables on which i get an error when trying...
Continue reading
Bondo campuskmtc bondo campus was started in september 2012. the main campus is situated within bondo town next to the hospital. it offers diplomas in nursing and clinical medicine while the annex cam...
Continue reading
Find a list of the top 10 best private high schools in kenya1. moi high school – kabarak2. strathmore school3. wamy high school4. mary mother of grace secondary school5. kianda school6. anestar...
Continue reading
Comments (9)
What about answers to the above questions
Replythanks in advance. please let me know the answers
Replyanswers for questions
ReplyGood what about answers
ReplyGood
Replyanswers
Replyanswers
ReplyThanks in advance please let me know the answers for the above questions
ReplyAnswers to e question
ReplyLeave a Comment